We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, March 4, 2019

Tarehe ya uchaguzi Yanga kutajwa wiki hii


Kamati ya uchaguzi ya Shirikisho la soka Tanzania (TFF) kwa kushirikiana na Yanga wiki hii wanatarajia kutangaza tarehe ya uchaguzi wa kujaza nafasi za uongozi katika klabu ya Yanga


Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya TFF Malangwe Mchungahela amesema mchakato huo hautaanza upya, utaendelea pale ulipoishia

Wakati mchakato huo ulipositishwa baada ya baadhi ya wanachama kwenda Mahakamani kuupinga, wagombea walikuwa wakiendelea na kampeni

Hivi karibuni Yanga ilitangaza Kamati yake ya uchaguzi ambayo itashirikiana na ile ya TFF kusimamia uchaguzi huo

Mwenyekiti wa Kamati hiyo ni Mh Venance Mwamoto (MB) ambaye anasaidiwa na Mh Seif Gulamali (MB)

Yanga ilishindwa kufanya uchaguzi katika tarehe iliyopangwa awali Januari 13 kutokana na kesi zilizofunguliwa Mahakamani

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list