We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, March 4, 2019

Kocha wa Stand United amlaumu Mwamuzi wa mchezo wao dhidi ya Simba SC


Mwamuzi wa mechi ya Jana dhidi ya Simba amelaumiwa na Kocha Msaidizi wa Stand United, Athuman Bilali 'Bilo'. 

Kocha huyo alizungumza mara baada ya mchezo amesema kuwa Mwamuzi aliwabeba na kuwasaidia Simba kupata mabao 2 ambayo alidai hayakuwa halali. 

Bilo ambaye alitamba kuwamaliza Simba SC kwenye kipute hicho, anaamini Mwamuzi aliwapa msaada Simba na mechi haikuwa na usawa kiuchezeshaji. 

"Tumefungwa lakini Mwamuzi amewasaidia Simba, si mabao sahihi kwakuwa kulikuwa na upendeleo kwao", alisema Bilo 

Aidha amesema kuwa anaweza kusema msaada wa refa umewasaidia Simba kuchukua alama tatu ambazo si halali kutokana na namna mchezo ulivyochezeshwa. 

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list