We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, March 28, 2019

TAARIFA MPYA KUTOKA SIMBA NI KUHUSU UWANJA WAO


Ujenzi wa uwanja wa Simba ulioko Bunju nje kidogo ya jiji la Dar es salaam ulisimama kwa muda kutokana na nyasi bandia za uwanja huo kushikiliwa na TAKUKURU kwa ajili ya uchunguzi wa kesi iliyokuwa ikiendelea
Hata hivyo Mtendaji Mkuu wa Simba Crescentius Magori amesema tayari TAKUKURU imeziachia nyasi hizo hivyo wakati wowote ujenzi wa uwanja huo utaendelea

Awali uwanja huo ulitarajiwa kukamilika mwezi wa pili lakini sasa baada ya nyasi hizo kuachiwa, Magori amesema ujenzi utakamilika baada ya wiki mbili
Mwekezaji wa klabu ya Simba Mohammed Dewji 'Mo' aliahidi kuukamilisha uwanja huo tayari kuanza kutumika kabla ya msimu huu kumalizika


No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list