We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, March 28, 2019

Sheikh aliyetoa tamko kuhusu Zitto Kabwe, wenzake wamkana (+video)


Shura ya Maimamu Mkoa wa Dar es Salaam imesema haihusiki na yote yaliyozungumzwa na Sheikh Juma Ramadhani katika mkutano wake na waandishi wa habari.

Machi 27, 2019 Sheikh Ramadhani, aliongea na waandishi wa habari akilaumu chama cha ACT Wazalendo kutumia neno Takbira wakati wa kupandisha bendera yao huko Zanzibar.


No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list