We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, March 29, 2019

Robo fainali ya tatu kombe la FA kupigwa leo, Yanga kesho


Michuano ya kombe la FA (ASFC) hatua ya robo fainali inaendelea leo kwa mchezo kati ya Kagera Sugar dhidi ya Azam FC utakaopigwa uwanja Kaitaba


Huo utakuwa mchezo wa tatu wa robo fainali baada ya juzi kuzishuhudia Lipuli Fc na KMC kutinga nusu fainali baada ya kushinda michezo yao
Kesho Jumamosi Yanga itakamilisha hatua hiyo ya robo fainali kwa kuumana na Alliance Fc katika mchezo utakaopigwa dimba la CCM Kirumba

Mshindi wa mchezo kati ya Kagera Sugar dhidi ya Azam Fc atachuana na KMC kwenye mchezo wa nusu fainali wakati mshindi wa mchezo wa kesho kati ya Alliance Fc dhidi ya Yanga, ataumana na Lipuli Fc kwenye mchezo wa nusu fainali

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list