We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, March 28, 2019

RASMI: Man United wameridhia kumpa timu Ole Gunnar Solskjaer

Club ya Man United ya England baada ya kukaa na kumuangalia katika michezo 19 akiiongoza timu yao Ole Gunnar Solskjaer kama kocha wao wa muda, wameamua kumtangaza rasmi kuwa kocha wao mkuu wa kudumu.
Man United imeamua kumpa mkataba wa miaka mitatu Ole Gunnar Solskjaer kama kocha wao wa kudumu, awali Man United ilikuwa imemteua Ole Gunnar Solskjaer kama kocha wao wa muda kumrithi Jose Mourinho hadi mwisho wa msimu huu.
Solskjaer akiwa na Man United sasa amefanikiwa kuiongoza club hiyo katika michezo 19, amefanikiwa kushinda michezo 14, sare michezo miwili na amepoteza michezo mitatu, kama utakuwa unakumbuka vizuri Ole Gunnar Solskjaer aliwahi kuwa mchezaji wa Man United katika kipindi cha miaka 11 (1996-2007).

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list