We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, March 28, 2019

Rasmi: Kikosi cha Tottenham chafanya mazoezi kwenye uwanja wake mpya, kiasi hiki cha fedha chatumika (+Picha)

Kikosi cha klabu ya Tottenham kwa mara ya kwanza hii leo kimefanya mazoezi kwenye uwanja wao mpya uliyotengenezwa kwa gharama ya pauni bilioni moja.


Wachezaji wa Spurs wamefanikiwa kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo, na sehemu nyingine ya uwanja huo kabla ya kuanza kufanya mazoezi kwenye dimba hilo.

Mauricio Pochettino's men were put through their paces in the state-of-the-art arena


The Tottenham players warmed up with some sprints on the pristine surface

Wachezaji wa Tottenham wakifanya ‘warmed’ kwenye uwanja wao mpya
On a sunny March afternoon, the home players grasped a feel for their new surroundings

Wachezaji kama Christian Eriksen, Erik Lamela na wengine wakionekana wakifanya mazoezi mepesi mepesi katika dimba hilo

Erik Lamela took part in a small-sided game as the team prepared to take on Liverpool

Uwanja huo wenye uwezo wa kuingiza jumla ya mashabiki 62,000 watushuhudiwa ukianza kuchezewa katika mechi ya kwanza dhidi ya Crystal Palace tarehe 3 ya mwezi Aprili.


Siku ya Jumamosi kikosi cha wakongwe wa Tottenham wataanza kuutimia uwanja huo kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Inter Milan.
Tottenham imekuwa ikitumia uwanja wa Wembley katika mechi zake tangu mwezi Agosti mwaka 2017 .

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list