We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, March 29, 2019

NIYONZIMA AMALIZANA NA AUSSEMS


Kocha Mkuu wa Simba Patrick Aussems amesema anajivunia uwepo wa kiungo Haruna Niyonzima katika kikosi chake na amesisitiza kiungo huyo hatauzwa
Katika siku za karibuni Niyonzima ameonekana kufanya vyema hali inayoashiria amerejea katika kiwango chake cha zamani

Ukizungumzia ushindi wa mabao 2-1 iliyopata Simba dhidi ya AS Vita na kutinga robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika, ni lazima utaje jina la Niyonzima kwani alikuwa miongoni mwa wachezaji waliojituma zaidi katika mchezo huo

Aussems amefichua kuwa wakati alipokutana na Niyonzima kwa mara ya kwanza baada ya kuanza kuinoa Simba, alibaini kiungo huyo alikuwa amekata tamaa
Aussems amesema alifanya kazi ya ziada kumrejesha nahodha huyo wa zamani wa timu ya Taifa ya Rwanda katika kiwango chake baada ya kubaini ni mchezaji mwenye kipaji cha hali ya juu

Anaamini uongozi wa Simba utamuongezea mkataba kwani ni miongoni mwa wachezaji anaowahitaji kwa ajili ya msimu ujao

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list