We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, March 29, 2019

Nchii hii ni hatari kuna wajuaji wengi - Rais Magufuli


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa nchi hii ni ya hatari sana na ina wajuaji wengi.

Rais Magufuli amesema kuwa Mkurugenzi amezungumzia suala la kulipa kodi hili ni eneo moja wapo ambalo nchi hii inaibiwa sana.

"Nchii hii ni ya hatari kuna wajuaji wengi katika nchi hii, maajabu mengi yanafanyika mengi Mkurugenzi hapa amezungumzia suala la kulipa kodi hili ni eneo moja wapo ambalo nchi hii inaibiwa sana hata kwenye Tax refund, tax refund nyingi zinazodaiwa ni za foguring," alisema Rais Magufuli wakati akipokea ripoti kutoka TAKUKURU Ikulu jijini Dar Es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list