We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, March 27, 2019

Jeshi La Polisi Lazuia Mkutano wa ACT-Wazalendo

Jeshi la Polisi Tanzania wamezuia Mkutano wa ACT-Wazalendo kwa sababu ya kuhofia wafuasi wa CUF chini ya Profesa Lipumba kuvuruga mkutano huo. 

Mkutano huo wa ndani ulipangwa kufanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa PR Stadium uliopo karibu na Uwanja wa Taifa.

Viongozi waandamizi wa ACT Wazalendo leo March 27,2019  wakiongozwa na Kiongozi wa Chama Ndugu Zitto Kabwe, Maalim Seif, Naibu Kiongozi wa Chama, Duni Haji walikuwa wakitarajia kukutana na wanachama wa ACT - Wazalendo.

Viongozi wengine ambao walitarajiwa kuwa kwenye mkutano huo ni pamoja na  Mwenyekiti wa chama Ndugu Yeremia Maganja, Makamo Mwenyekiti Bara Ndugu Shaaban Mambo, Katibu Mkuu, Dorothy Semu na Naibu Katibu Mkuu, Msafiri Mtemelwa pamoja na viongozi wengine wa kitaifa na wa mkoa wa Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list