We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, March 29, 2019

Habari mpya kutoka Yanga mchana wa leo

Habari mpya kutoka Yanga mchana wa leo 29 March 2019

Kutoka katika ukurasa wa Twitter wa Yanga leo mchana wameandika habari kuhusiana na kikosi chao ambacho kilitua jana kwa ndege jijini Mwanza kikitokea Dar Es Salaam
Kupitia ukurasa huo wa Twitter Yanga wameandika ujumbe
Kikosi chetu kiko salama kabisa, wachezaji wote wa hali nzuri, baada ya mazoezi ya jana chuo cha Butimba, jioni hii mazoezi ya mwisho yatafanyika CCM KIRUMBA.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list