We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, March 25, 2019

Chumba cha Taifa Stars, Wachezaji walivyomuimbia Makonda baada ya ushindi. (+video)

Furaha haijaisha na bado shamrashamra zinaendelea kuanzia uwanjani mpaka barabarani, nyumbani mpaka baa… hii video fupi hapa chini ilirekodiwa kwenye chumba cha Wachezaji wa Taifa Stars wakati Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makondaalipoingia baada ya mechi ambayo Stars wameibuka na ushindi wa 3-0 vs Uganda.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list