We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Saturday, March 23, 2019

BREAKING: Meya wa Ilala, Kuyeko (CHADEMA) atangaza kujiuzulu nafasi yake


Meya wa Ilala, Charles Kuyeko ametangaza kujiuzulu nafasi yake na kusema kuwa mapenzi yake ya dhati yapo katika Chama cha Mapinduzi (CCM). 

"Nawashukuru Chadema kwa kunipa nafasi ya kugombea, mimi nitaendelea kuwaheshimu lakini ukweli mimi mapenzi yangu ya dhati ni CCM," amesema Meya wa Manispaa ya Ilala, Charles Kuyeko akitangaza kujiuzulu nafasi hiyo.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list