We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Saturday, March 23, 2019

Alichokiandika msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa baada ya Harmonize kugawa vitambulisho kwa wajasiriamali 200


Baada ya Mwanamuziki, Harmonize kugawa vitambulisho kwa wajasiriamali 200 wa Kariakoo Dar es salaam. Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Gerson Msigwa amempongeza msanii huyo.

Msigwa amesema kuwa msanii huyo amemuunga mkono Rais Magufuli baada ya kugawa vitambulisho hivyo.

"Mwanamuziki Harmonize amuunga mkono Mhe. Rais Magufuli. Agawa vitambulisho kwa wajasiriamali 200 wa Kariakoo Dar es salaam," aliandika Msigwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii.

"Haya ndio mambo Konde Boy. Mwenyezi Mungu akubariki na abariki kazi ya mikono yako."

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list