We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, February 1, 2019

Zitto Kabwe aibana serikali juu ya mlundikano wa leseni kwa wavuvi


Mbunge wa jimbo la Kigoma mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, ameibana serikali juu ya mlundikano wa leseni kwa wavuvi, jambo ambalo linafanya wavuvi wa Mkoa wa Kigoma kushindwa kushindana kibiashara na wavuvi kutoka nchi zinazolizunguka Ziwa Tanganyika.

Swali hilo limejibiwa na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdalla Ulega . Tazama hapo chini

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list