We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, February 1, 2019

Vitalis Mayanga aongezwa Simba


Mshambuliaji wa Ndanda Fc Vitalis Mayanga amesajiliwa na Simba kwa ajili ya michuano ya ligi ya mabingwa.


Taarifa iliyotolewa na uongozi wa Simba mapema leo imesema Mayanga pamoja na beki Zana Coulibaly tayari wamepata leseni za CAF na watakuwa tayari kuitumikia Simba katika michezo ijayo ya ligi ya mabingwa

Hata hivyo wachezaji hao watakosa mchezo wa kesho dhidi ya Al Ahly

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list