We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Sunday, February 24, 2019

Jay Melody amtumia maombi haya Diamond ‘WCB wote wakali, nitafurahi kama akinifikiria’ (+video)

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Jay Melody ameweka wazi kuwa kwa sasa angefurahi zaidi kufanya kazi na Diamond Platnumz kwani anaamini kwa uwezo aliyonao wangefanya kolabo kali zaidi Tanzania.


Jay Melody akiongea na Bongo5, amesema kuwa wasanii wote wa WCB wakali, ila anawaelewa zaidi Mbosso na Diamond Platnumz.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list