We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, February 1, 2019

BREAKING: Mkuu wa Mkoa atajwa kwenye ufisadi wa Bilioni 3.5 Bungeni (+video)

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) Vedasto Ngombale amesema kuwa katika ukaguzi maalum katika kipindi cha mwaka 2012 hadi 2017 kamati yake imebaini kuwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Fatma Mwasa alitumia madaraka yake vibaya wakati wa Uongozi wake na kusababisha ubadhirifu wa Shilingi Bilioni 3.5.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list