We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, February 1, 2019

“HII TRILION 1.5 ILIPOTOSHWA, WAHUSIKA WACHUKULIWE HATUA”-KAMATI

Baada ya Kamati ya hesabu za Serikali (PAC) kuwasilisha Bungeni taarifa rasmi ya shughuli za kamati kwa mwaka 2018 ikiwemo kujibu hoja iliyoibuliwa na Mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe kuhusu upotevu wa Trilion 1.5 wakati akichambua ripoti ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali (CAG), Baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo wameongea na Waandishi wa habari nje ya ukumbi wa Bunge na kuelezea namna walivyopewa ufafanuzi sahihi wa fedha hizo.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list