We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, February 25, 2019

Audio: Harmonize ameiachia EP ya nyimbo zake inayoitwa AfroBongo, Diamond, Burnaboy,Yemi Alade,Mr Eazi ndani

Msanii wa muziki kutoka lebo ya WCB iliyochini ya Diamond Platnumz, mmakonde Harmonize ameiachi EP yake ya nyimbo nne alizowashirikisha wasanii mbalimbali akiwemo boss wake Diamond Platnumz.



Mbali na Diamond kuwepo kwe EP hiyo lakini pia amewashirikisha wasanii kadhaa kutoka Nigeria akiwemo Burnaboy, Yemi Alade na Mr eazi. Wimbo alimshirikisha Boss wake ukiitwa “Inama”




No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list