We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, September 11, 2019

Yanga yafanya jambo hili kimya kimya

Dk David Luhago anatajwa kuchukua nafasi ya Katibu Mkuu wa Yanga, akipitishwa kwenye kikao cha Kamati ya Utendaji jana
Taarifa za kuaminika zimebainisha pia kuwa Mwanahabari Hassan Bumbuli amepitishwa kuwa Afisa habari mpya wa Yanga wakati Antonio Nugaz amepitishwa kuwa Afisa Uhamasishaji
Hivi karibuni Yanga ilitangaza nafasi hizo kuwa wazi ikisaka watu sahihi
Nafasi ya Katibu Mkuu ilikuwa ikikaimiwa na Dismas Ten ambaye pia ndiye aliyekuwa Afisa Habari
Mtu wa kwanza kushikilia nafasi hiyo alikuwa Omary Kaya aliyekabidhiwa baada ya Charles Mkwasa kujiuzulu

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list