We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Tuesday, September 17, 2019

Yanga kumrudia Rutanga dirisha dogo

Yanga huenda ikaongeza nguvu safu ya ulinzi upande wa kushoto wakati wa usajili wa dirisha dogo ambapo beki Erick Rutanga anatajwa kuelekea Jangwani
Wakati wa usajili uliopita, Yanga ilimuwania Rutanga lakini walishindwa kufikia makubaliano na timu yake Rayon Sports
Kwenye nafasi hiyo, kwa sasa Yanga inawategemea Muharami Issa 'Marcelo' na Ally Mtoni ambaye kwa asili ni beki wa kati
Mtoni ameaminiwa zaidi na kocha Mwinyi Zahera katika michezo ya hivi karibuni
Rutanga ni aina ya beki wa pembeni mwenye uwezo mkubwa katika ulinzi na mahiri kwenye kupeleka mashambulizi mbele

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list