We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Saturday, September 14, 2019

VIDEO: MAGOLI YOTE YANGA SC 1-1 ZESCO UNITED (CAF CL - 14/9/2019)

Yanga SC ‘timu ya wananchi’ wamelazimishwa sare ya bao 1-1 na Zesco United ya Zambia katika mchezo wa Ligi ya mabingwa Afrika uliopigwa leo kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Yanga wamepata bao lao kwa mkwaju wa penati dakika ya 25 kupitia kwa Patrick Sibomana baada ya mshambuliaji wake Sadney kuangushwa kwenye eneo la hatari lakini kiungo wa zamani wa timu hiyo Thaban Kamusoko akaisawazishia Zesco sekunde chache kabla ya mchezo kumalizika ikiwa ni dakika ya 90+4. Timu hizo zitarudiana wiki mbili zijazo nchini Zambia ambapo Yanga italazimika kushinda au kupata sare ya kuanzia mabao 2-2 ili kuingia hatua ya makundi ya michuano hiyo.

Bonyeza play hapa chini kutazama zaidi pia tembelea app hii kila Mara kusoma habari mpya

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list