We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Sunday, September 15, 2019

Tunisia kufanya uchaguzi wa Rais leo

Tunisia inatarajiwa kufanya uchaguzi wa rais leo. Hii itakuwa mara ya pili kwa nchi hiyo kufanya uchaguzi huru wa rais kwa njia ya demokrasia tangu kutokea vuguvugu lililotokea mwaka 2011 na kumuondoa madarakani aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Zine el-Abidine Ben Ali.

Wagombea 26 akiwemo Waziri Mkuu Youssef Chahed watashiriki uchaguzi huo. Hata hivyo haijajulikana wazi ni nani atafaulu kuingia kwenye duru ya pili ya uchaguzi huo.

Wapiga kura milioni saba wanatarajiwa kushiriki uchaguzi huo, baada ya kumalizika rasmi kampeni zilozojikita zaidi kwenye changamoto za kijamii na kiuchumi zinazoizonga nchi hiyo ya Afrika kaskazini.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list