We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Sunday, September 15, 2019

Samia afunguka kuzomewa kwa Ramaphosa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema amefurahishwa na hotuba ya kuomba msamaha iliyotolewa na Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, baada ya wananchi wa Zimbabwe kumzomea wakati wa zoezi la kuaga mwili wa Rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe

Makamu wa Rais Samia Suluhu amesema hotuba ya Rais wa Afrika ya Kusini Ramaphoser aliyoitoa kwa wananchi wa Zimbabwe na Afrika kwa Ujumla, ni kitendo cha ungwana kwa kuweza kuomba samahani, kutokana na vitendo vinavyoendelea kufanywa wa wananchi wa Afrika Kusini.
"Nimefurahishwa sana na hotuba aliyoitoa Rais wa Ramaphosa kwa sababu alipoanza wananchi walikuwa wanamzomea sana, lakini aliomba samahani kwa Afrika na samahani kwa Zimbabwe na wananchi walimpenda sana." amesema Makamu wa Rais
Hafla ya kumuaga Mzee Mugabe imefanyika Kitaifa katika Uwanja wa Taifa wa Michezo Jijini Harare Nchini Zimbabwe ambapo Makamu wa Rais amemuwakilisha Rais Magufuli kwenye.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list