We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Tuesday, September 3, 2019

Ndugai Amwapisha Maturu Kumrithi Tundu Lissu ( VIDEO )

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amemwapisha Miraji Mtaturu kuwa Mbunge wa Singida Mashariki (CCM), leo Jumanne Septemba 3, 2019, Bungeni jijini Dodoma. Mtaturu amechukua nafasi ya Tundu Lissu ambaye ubunge wake ulifutwa Juni 28, 2018 baada ya kupoteza sifa za kuendelea kuwa mbunge.

Baada ya Miraji kuapishwa, Spika Ndugai amesema kuwa, sasa watu wa Singida Mashariki wanaye mwakilishi halisi bungeni.

Aidha, wakati Mtaturu akiapishwa asubuhi hii, wabunge wa Upinzani wamesusia tukio hilo kwa kugoma kuingia ukumbini katika kipindi hiki cha asubuhi

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list