We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, September 25, 2019

Mechi dhidi ya Yanga dhidi ya Zesco kupigwa saa kumi jioni

Mchezo wa marudiano ligi ya mabingwa kati ya Zesco United dhidi ya Yanga utapigwa Jumamosi Septemba 28 2019 saa tisa Alasiri kwa saa za Zambia wakati ambapo huku Tanzania itakuwa saa kumi kamili jioni
Mchezo huo utarushwa mbashara kupitia Azam Sport 2
Yanga tayari iko nchini Zambia ikiendelea na maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo huo
Matokeo ya ushindi au sare ya kuanzia mabao mawili yataihakikishia Yanga kutinga hatua ya makundi
Kocha Mwinyi Zahera amesema lengo kuu ni kupata ushindi na sio matokeo ya sare
Leo Yanga imefanya mazoezi yake ya kwanza nchini Zambia

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list