We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, September 26, 2019

Mbaroni kwa Kutaka Kumpindua Rais

Mamlaka za Usalama zimewakamata watu watatu pamoja na vifaa vya milipuko na silaha zingine za kivita wakidaiwa kupanga njama za kuipindua Serikali ya Rais Nana Akufo-Addo.

Vikosi vya usalama katika Taifa hilo la Afrika Magharibi vimesema vilikuwa vikifuatilia shughuli za watuhumiwa hao kwa zaidi ya mwaka mmoja kabla ya kuwakamatwa Ijumaa ya wiki iliyopita. Watuhumiwa hao bado wanahojiwa wakati uchunguzi zaidi ukiendelea.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list