Rais Magufuli amewapongeza Madaktari na Wauguzi wa MOI kwa kazi kubwa wanayoifanya na ameahidi kutoa shilingi Bilioni 1.5 kwa taasisi hiyo kwa ajili ya kununulia vipandikizi kwa ajili ya wagonjwa wanaopatiwa matibabu baada ya kuvunjika.
We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.
Subscribe to our RSS feed to stay updated on our progress.
No comments:
Post a Comment