We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Tuesday, September 10, 2019

'MADINI HAYA YANA MADHARA MAKUBWA’-KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI LEO

Leo kutoka bungeni Dodoma moja ya mambo ambayo yameendelea ndani ya bunge hilo ni pamoja na uwasilishwaji wa maelezo ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) kuhusu Azimio la Kuridhia Mkataba wa Minamata Kuhusu Zebaki (Minamata Convention on Mercury ambapo azimio hilo limepitishwa na bunge hilo. Awali msemaji mkuu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni ofisi ya makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) aliwasilisha maoni ya Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni kwa Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) kuhusu Azimio hilo na kueleza kwa kina kuhusu madhara ya zebaki.

Bonyeza play hapa chini kutazama zaidi pia tembelea app hii kila Mara kusoma habari mpya

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list