We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Tuesday, September 10, 2019

Alichozungumza David Molinga baada ya kuifungia Yanga mabao mawili

Timu ya Wananchi, Yanga SC leo imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Toto Africans ya Mwanza katika mchezo wa kirafiki uliopigwa kwenye Uwanja wa Nyamagana Jijini Mwanza. Magoli ya Yanga yamefungwa na David Molinga aliyefunga mawili dakika ya 36 na 40 huku la tatu likifungwa na Abdul-aziz Makame dakika ya 48. Mara baada ya mchezo, mfungaji wa mabao mawili David Molinga raia wa DRC amezungumza na kutoa ujumbe huu kwa wana Yanga

Bonyeza play hapa chini kutazama zaidi pia tembelea app hii kila Mara kusoma habari mpya

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list