We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, September 26, 2019

Jurgen Klopp kataja mbadala wake ikitokea kaondoka Liverpool

Kocha mkuu wa Liverpool Jurgen Klopp katika mahojiano yake na Four Four Two amemtaja kocha ambaye anatamani awe mrithi wake katika kiti cha ukocha wa Liverpool ikitokea kaondoka timu hiyo.
Klopp anaamini kuwa kama ikitokea siku akaondoka Liverpool, mtu sahihi wa kurithi kiti chake ni nahodha wa zamani wa timu hiyo Steven Gerrard ambaya kwa sasa anaifundisha Rangers ya Scotland.
Gerrard akiwa Ranger kama timu yake ya kwanza kuanzia kazi aliisaidia kumaliza nagasi ya nne nyuma ya mabingwa Celtic kwa tofauti ya point 9, ila Gerrard ameiongoza timu hiyo katika michezo 76 ya mashindano yote na ameshinda 44 sawa na ushindi kwa asilimia 58.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list