We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, September 27, 2019

FIFA yatoa ufafanuzi kuhusu kura za Misri kutotambulika kwa MO Salah

Baada ya siku moja kupita toka idaiwe mchezaji wa Liverpool anayeichezea pia timu ya taifa ya Misri Mohamed Salah kukasirishwa na shirikisho la soka la nchini Misri EFA kwa kutompigia kura katika tuzo za The Best FIFA, kitu ambacho kinadaiwa kutompendeza MO Salah.
Kutokana na kuonekana Salah kutopendezwa kwa kutoona kura ya kocha wake wa timu ya taifa na nahodha wake wakiwa wamemchagua, EFA walituma maombi FIFA kupata ufafanuzi kwa nini kura ya kocha wao na nahodha wao haijaonekana na wao walimpigia kura MO Salah.
FIFA wametoa ufafanuzi kuhusiana na hilo na kusema kuwa kura za Misri hazijahesabiwa kama kura kutokana na kuharibika kwa maana zilipigwa kwa kuandikwa kwa herufi kubwa.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list