Wananchi Mkoani Geita wamejitokeza kutoka maeneo mbalimbali kwenda katika Kijiji cha Kasala Kata ya Makurugusi, Wilayani Chatokwa ajili ya kumshuhudia nyoka wa ajabu huku wakipeleka zawadi na sadaka zikiwemo mbuzi, mtama na unga na kwamba endapo hakipokea sadaka na zawadi hizo kwao ni baraka kutokana na sadaka yao kukubaliwa.
We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.
Subscribe to our RSS feed to stay updated on our progress.
No comments:
Post a Comment