We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Tuesday, September 17, 2019

Bigirimana arejea kikosini Yanga

Kiungo mshambuliaji Issa Bigirimana amerejea kikosini kuendelea na maandalizi ya mchezo dhidi ya ZESCO United
Bigirimana amekuwa nje kwa wiki kadhaa akiuguza majeraha ya nyama za paja
Tangu alipotua Yanga, Bigirimana amekuwa akisumbuliwa na majeraha hayo
Wakati Yanga ilipoweka kambi jijini Mwanza kujiandaa na mchezo wa kwanza dhidi ya Zesco, Bigirimana aliachwa Dar kuendelea na matibabu
Kurejea kwake huenda kutaongeza 'kitu' kwenye safu ya ushambuliaji ya Yanga ambayo bado haijapata makali

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list