We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Saturday, August 3, 2019

Zahera ataka 'nyomi' uwanja wa Taifa

Kocha Mkuu wa Yanga Mwinyi Zahera amewataka mashabiki wa timu hiyo kujitokeza kwa wingi uwanja wa Taifa kesho kuwashuhudia wachezaji wapya wa timu yao watakaposhuka dimbani kuikabili Kariobangi Sharks
Akizungumzia maandalizi ya mwisho baada ya mazoezi yaliyofanyika uwanja wa Uhuru leo, Zahera amesema wachezaji wote wako katika hali nzuri
"Wachezaji wote wako katika hali nzuri hatuna majeruhi hata mmoja," amesema
"Ukiondoa wachezaji wachache ambao walichelewa kuanza mazoezi, wengine wote 'fitnes' yao ni nzuri"
"Kesho Wanayanga waje wengi sana uwanjani waonyeshe mapenzi kwa wachezaji wao wapya"
"Sababu wachezaji hawa wapya, mwaka huu nadhani watawafurahisha sana, hivyo nawaomba wote wanaoipenda Yanga waje kwa wingi uwanjani"

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list