We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, August 2, 2019

Yanga yamaliza kambi Morogoro, yarejea Dar

Msafara wa kikosi cha Yanga umewasili salama jijini Dar es salaam ukitokea kambini mkoani Morogoro
Yanga iliweka kambi ya takribani wiki tatu mkoani Morogoro kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya na mchezo wa kilele cha wiki ya Mwananchi dhidi ya Kariobangi Sharks August 04
Shamrashamra za mapokezi ya Yanga zilianzia Kibaha, ambapo msafara wa timu hiyo ulisindikizwa kwa maandamano mpaka jijini Dar es salaam
Yanga imejichimbia kwa muda Hotel ya Nefaland, ikifanya maandalizi ya mwisho kabla ya kuikabili Kariobangi Sharks

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list