We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, August 16, 2019

Yanga kupimana na Polisi Tanzania leo

Kikosi cha Yanga kiko mkoani Kilimanjaro ambapo leo kitacheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Polisi Tanzania
Mchezo huo ambao utapigwa uwanja wa Ushirika Moshi, ni maalum kuwandaa mabingwa hao wa kihistoria kwa ajili ya mchezo wa marudiano ligi ya mabingwa dhidi ya Township Rollers
Kocha Mkuu wa Yanga Mwinyi Zahera amesema atatumia michezo miwili ya kirafiki watakayocheza kuimarisha timu yake kabla ya kuwafuata Rollers
Mchezo huo utapigwa saa 10 jioni na utakuwa mbashara Azam Sport 2

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list