We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, August 29, 2019

Virgil van Dijk kawabwaga Messi na Ronaldo

Beki wa kimataifa wa Uholanzi anayekipiga katika club ya Liverpool  Virgil van Dijk leo ametangazwa kuwa mchezaji bora wa Ulaya.
Van Dijk ametangazwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Ulaya msimu wa 2018/2019, baada ya kufanya vizuri akiwa na Liverpool na kuwabwaga Lionel Messi na Cristiano Ronaldo waliokuwa wanawania nae tuzo hiyo.
Hata hivyo Van Dijk ametangazwa kuwa beki bora wa UEFA 2018/2019, Allison Becker wa Liverpool ndio kipa bora wakati Frenkie Dejong akitangazwa kiungo bora, Messi amechukua tuzo ya mshambuliaji bora.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list