We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Sunday, August 4, 2019

Uwanja umefurika, hiki hapa kikosi cha Yanga kitakacho cheza Leo dhidi ya Kariobangi Sharks

Muda mchache ujao mashabiki wa Yanga wataishuhudia timu yao mpya kwa mara ya kwanza ikishuka uwanja wa Taifa kuumana na Kariobangi Sharks katika mchezo wa kuadhimisha kilele cha wiki ya Mwananchi
Mashabiki wamejitokeza kwa wingi uwanjani, hakika historia leo itaandikwa
Wachezaji wote wanatarajiwa kushiriki mchezo huo ambao ni maalum kwa ajili ya kutambulisha kikosi cha Yanga cha msimu wa 2019/20
Kikosi cha kwanza kitakachoanza kinatarajiwa kuwa hivi;
1. Farouk Shikalo
2. Mustafa Suleyman
3. Mwarami Mohammed 'Marcelo'
4. Ally Mtoni
5. Lamine Moro
6. Papi Tshishimbi
7. Mapinduzi Balama
8. Mohammed Issa 'Banka'
9. Sadney Urikhob
10. Juma Balinya
11. Patrick Sibomana

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list