We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Saturday, August 3, 2019

TFF kupunguza timu Ligi Kuu

Kupitia ukurasa rasmi wa mtandao wa Twitter, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limebainisha kusudio la kupunguza idadi ya timu zinazoshiriki ligi kuu kutoka 20 mpaka 16 msimu wa 2021/22
TFF imeeleza kufikia uamuzi huo baada ya kufanya tathmini ya kina kuhusu mwenendo wa ligi yenye timu 20
Kuna uwezekano mkubwa misimu miwili ijayo, timu nne zitashuka daraja na timu mbili kupanda kutoka Ligi Daraja la kwanza
Moja ya changamoto iliyoikabili TFF msimu uliopita baada ya kuongeza idadi ya timu, ni kukosekana kwa Mdhamini wa ligi
Kampuni ya Vodacom iliyokuwa ikiidhamini ligi hiyo kwa zaidi ya misimu mitano ilijitoa
Msimu huu TFF imethibitisha kuwa ligi itakuwa na mdhamini na atatangazwa August 15

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list