We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Saturday, August 17, 2019

Tetesi za usajili barani ulaya Leo Jumamosi

Jadon Sancho anajiandaa kuhama Borussia Dortmund na tayari klabu hiyo ya Ujerumani imeanza kumsaka atakaechukua nafasi ya mshambuliaji huyo wa miaka 19 wa England. (Mail)
Kocha wa Crystal Palace Roy Hodgson anasema winga wa Ivory Coast Wilfried Zaha, 26, huuenda akaondoka klabu hiyo msimu huu wa joto. (Sun)
Monaco wanamtaka mshambuliaji wa Uingereza Daniel Sturridge, 29, ambaye yuko huru baada ya kuondoka Liverpool. (L'Equipe in French)
Kiungo wa kati Mswizi Xherdan Shaqiri, 27, amesema anatafakari hatma yake ya baadae Liverpool ikiwa hatapewa nafasi ya kutosha ya kucheza. (Langenthaler Tagblatt via Daily Star)

Xherdan Shaqiri with a great strikeHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES

Kumkosa mshambuliaji wa England r Harry Kane, 26, huenda kukaiathiri Tottenham ikilinganishwa na kukpoteza huduma ya Christian Eriksen, 27, anasema beki wa zamani wa Liverpool Jamie Carragher. (Daily Telegraph)
Mkufunzi wa Real Madrid Zinedine Zidane ameelezea furaha yake kuwa James Rodriguez, 28, katika kikosi chake licha ya mchezaji huyo raia wa Colombia hivi karibuni kuhusishwa na uhamisho wa kwenda Bernabeu. (Corriere dello Sport - in Italian)

Zinedine ZidaneHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionMkufunzi wa Real Madrid Zinedine Zidane

Ndungu ya Paul Pogba, Mathias anasema kuwa kiungo huyo wa kati wa Ufaransa wa miaka 26, bado anataka kuondoka Manchester United na kujiunga na Real Madrid. (El Chiringuito via Daily Mail)
Meneja wa Celtic Neil Lennon anasisitiza kuwa hana mpango wa kumnunua kipa mpya msimu huu. (Daily Record)

Manchester United midfielder Paul PogbaHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES

Mshambuliaji wa Bosnia Edin Dzeko, 33, ametia saini kandarasi mpya ya miaka mitatu na klabu ya Roma, licha ya tetesi kuibuka huenda akajiunga na mahasimu wa klabu hiyo Inter Milan. (AS Roma)
Winga wa Uholanzi Steven Bergwijn, 21, amabye analengwa na Bayern Munich na Manchester United amethibitishia PSV Eindhoven uaminifu wake kwa klabu hiyo baada ya kukubali kusaini mkataba wa miaka mitano. (Goal)

NeymarHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionNeymar

Kocha wa Brazil Tite anasema Neymar, 27, anasubiri Paris St-Germain imfanyie uamuzi kuhusu hatma yake ya baadae. (Marca)
Meneja wa Arsenal Unai Emery amekiri kuwa hana uhakika ikiwa usajili wa wachezaji wapya umeimarisha kikosi cha Gunners. (Mirror)
Kiungo wa kati wa Tottenham Moussa Sissoko anasemekana kuangua kilio baada ya kushindwa katika fainali ya Champions League na Liverpool.(Talksport)

Moussa SissokoHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionMoussa Sissoko amecheza mechi zote za Tottenham katika Ligi ya Premia miaka minne iliopita

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list