We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, August 2, 2019

Sportpesa yaikabidhi Simba Milioni 100

Mamilioni yameendelea kumwagika Msimbazi baada ya leo wadhamini wakuu kampuni ya Sportpesa kuwakabidhi simba hundi ya Tsh Milioni 100 zikiwa ni fedha za bonus
Simba imekabidhiwa fedha hizo mbele ya viongozi wake pamoja na wachezaji ambao walifika Makao Makuu ya SportPesa wakiambatana na taji la ligi kuu walilotwaa msimu uliopita







No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list