We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Saturday, August 3, 2019

Sheikh Mkuu atangaza sikukuu ya Idd

Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally ametangaza kuwa sikukuu ya Idd El-Adh'haa itakuwa siku ya Jumatatu, Agosti 12, 2019. 

Swala ya Eid kitaifa itaswaliwa katika viwanja vya Masjid Kibadeni, eneo la Chanika Zogowali, Ilala Jijini Dar es Salaam.
Aidha, Baraza la Eid hapohapo katika viwanja vya Masjid Kibadeni mara baada ya swala kumalizika. Sheikh Mkuu anawatakia Waislamu na Watanzania wote sikukuu njema na anawaomba kusheherekea kwa amani.
Isome hapa taarifa kamili.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list