We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, August 28, 2019

"Ruvu Shooting bingwa mwaka huu" – Jeuri ya Masau Bwire baada ya kuifunga Yanga (VPL - 28/8/2019)

Timu ya soka ya Yanga imeianza vibaya Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu kwa kupokea kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Ruvu Shooting kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam. Mchezo huo wa kwanza wa ligi msimu huu kwa timu zote mbili, Yanga licha ya kumiliki zaidi mpira wamejikuta wakiruhusu bao pekee dakika ya 21 kupitia kwa Sadat Mohamed akimalizia pasi ya Said Dilunga. Mara baada ya mchezo huo, Msemaji wa Ruvu Shooting Masau Bwire amezidi kutamaba akisema kikosi cha timu yake mwaka huu ni bora kuliko vikosi vyote alivyowahi kuviona hivyo endapo sharia za soka zitafuatwa, basi timu hiyo ndiyo itakayochukua ubingwa wa ligi msimu huu. Masau amesema aliingia kwenye mchezo huo akijua matokeo kwa kuwa alikuwa akiwaamini zaidi wachezaji wa kikosi chake licha ya kuwa ni vijana wa kitanzania na ametamba kuendelea kuwapapasa wengine atakaokutana nao msimu huu.

Bonyeza play hapa chini kutazama zaidi pia tembelea app hii kila Mara kusoma habari mpya

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list