We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Sunday, August 4, 2019

Rostam amwaga Mamilioni Yanga kupitia kampuni yake ya Taifa Gas

Kampuni ya Taifa Gas inayomilikiwa na Bilionea Rostam Aziz ni mmoja wa wadhamini wa klabu ya Yanga msimu huu
Rostam ambaye aliichangia Yanga Tsh Milioni 200 kwenye Kubwa Kuliko, ameahidi kuendelea kumwaga mamilioni kupitia udhamini huo
Nembo ya Taifa Gas tayari imeongezwa kwenye jezi za Yanga
Uongozi wa Yanga utaweka hadharani kiasi cha pesa ambazo wataingiza kupitia udhamini huo

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list