We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Thursday, August 1, 2019

Rasmi: Arsenal yakamilisha usajili wa Nicolas Pepe

Club ya Arsenal ya England imefanikiwa kukamilisha usajili wa winga wa Ivory Coast aliyekuwa anakipiga Lille ya Ufaransa Nikolaos Pepe.
Arsenal imemsajili pepe kwa mkataba wa miaka miaka mitano kwa dau la pound milioni 70 ila Arsenal watalipa kiasi hicho kwa awamu wakati Pepe akiendelea kuitumikia Arsenal.
Pepe mwenye umri wa miaka 24 msimu uliopita Ligi Kuu Ufaransa alifunga jumla ya magoli 22  na kutoa assist 11, kwa sasa Pepe ndio anakuwa mchezaji ghali zaidi ndani ya Arsenal baada ya Pierre Aubameyang aliyesajiliwa Arsenal akitokea Dortmund kwa dau la pound milioni 56 January 2018.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list