We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, August 16, 2019

PICHA: Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa atembelea makaburi ya wapigania uhuru wa Afrika Kusini Yaliyopo Morogoro

Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa leo Ijumaa Agosti 16, 2019 ametembelea makaburi ya wapigania uhuru wa nchi hiyo yaliyopo eneo la Mazimbu mkoani Morogoro.

Akiwa na mwenyeji wake waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, rais huyo amefika eneo hilo linaloitwa Solomon Malangu, ikiwa ni mara ya kwanza tangu alipochaguliwa kuwa kiongozi mkuu wa nchi hiyo.

Ameonyeshwa nyumba ambayo wapigania uhuru hao walikuwa wanazikwa kijeshi, pia amepanda mti, kuweka shada la maua katika mnara wa mashujaa uliojengwa eneo hilo.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list