We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Wednesday, August 28, 2019

Madhara ya moto unaowaka katika msitu Amazon yaonekana Afrika

Shirika la Kulinda Mazingira la Greenpeace, limesema moto unaondelea kuwaka katika Msitu wa Amazon unaharibu Msitu wa Bonde la Kongo barani Afrika na kusababisha matatizo ya kupumua kwa wananchi wa Brazil.
Matatizo ya kupumua hasa kwa watoto yameongezeka kadri moto huo unavyoteketeza eneo hilo na kusababisha idadi ya watu waliotibiwa kutokana na matatizo ya kupumua kuongezeka katika siku za hivi karibuni katika hospitali ya watoto ya Jimbo la Rondonia.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list