We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, August 5, 2019

Kamusoko atuma salamu za shukrani Yanga

Aliyekuwa kiungo wa Yanga Thabani Kamusoko, amewashukuru viongozi, wanachama na mashabiki wa timu hiyo kwa sapoti aliyopata wakati wote aliocheza Yanga
Kamusoko aliyeichezea Yanga kwa misimu minne, amejiunga na klabu ya ZESCO United ya Zambia
"Napenda kuchukua nafasi hii kushukuru viongozi, wanachama na mashabiki wa Yanga kwa kuweza kunipa nafasi ya kuonyesha uwezo wangu ndani ya miaka minne," amesema
"Najisikia furaha kucheza moja ya timu kubwa ukanda wa Afrika Mashariki. Nawatakia kila la kheri katika msimu mpya"
"Asanteni sana, natumaini tutakutana tena siku nyingine"
Kamusoko alisaini mkataba wa miaka mitatu kuitumikia ZESCO United inayonolewa na kocha George Lwandamina ambaye aliwahi kuinoa Yanga kwa msimu mmoja na nusu
Aliondoka mwishoni mwa msimu wa 2017/18 kurejea ZESCO

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list